WHO: Tukiunganisha sayansi na mitishamba tutasongesha ajeda ya afya
17 December 2025

WHO: Tukiunganisha sayansi na mitishamba tutasongesha ajeda ya afya

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, linaweka mkazo mpya wa kisayansi katika tiba asili au mitishamba, wakati mawaziri, wanasayansi na viongozi wa jamii za asili kutoka zaidi ya nchi 100 wakikutana mjini New Delhi India kuanzia leo kuangazia mchango wa dawa za asili. Flora Nducha na taarifa zaidi