WHO na juhudi za kupambana na usugu wa Viuajijasumu
12 January 2026

WHO na juhudi za kupambana na usugu wa Viuajijasumu

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani linaendelea na juhudi za kupambana na changamoto ya usugu wa Viuaji- Vyasumu au AMR na sasa imetoa miongozo na taratibu za kuhakikisha kuna matumizi sahihi ya dawa na wahudumu wa sekta ya afya katika nchi wanachama wanaendelea kuwapatia mafunzo ili kuzitumia kwa usahihi na kwa uwajibikaji. Tupate tarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi