
11 May 2026
Siku ya Kinamama: Mama ni nguzo ya jamii na msingi wa haki za watoto
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Je wajua nafasi ya mama katika jamii? Dunia ikiwa imeadhimisha siku ya mama Jumapili Mei 10, tunakupeleka kaunti ya Kajiado nchini Kenya ambako nafasi mama ya katika kusongesha haki za kijamii hususan za watoto wao imewekwa bayana. Feissal Kirwa anafafanua kwenye taarifa hii itokanayo na video iliyoandalaliwa na Redio washirika wetu Domus.