
01 October 2025
Lazima tutambue mchango wa wazee katika kuunda jamii zenye haki - UN
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Tuanzie hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambako kumefanyika tukio maalum la kuadhimisha siku ya wazee duniani leo Oktoba Mosi, kaulimbiu ikiwa Wazee Wanaendesha Hatua za Kijamii na Kimaisha: Matamanio Yetu, Ustawi Wetu na Haki Zetu. Anayekupeleka ukumbini ni Flora Nducha.