Skip to content
Opens in a new window
Changamoto ndani ya mafanikio ya mradi wa kuongeza kipato na kulinda mazingira Kwale, nchini Kenya
11 September 2026

Changamoto ndani ya mafanikio ya mradi wa kuongeza kipato na kulinda mazingira Kwale, nchini Kenya

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Nchini Kenya, mradi wa kuboresha mbinu za kipato za wavuvi na kulinda mazingira unaotekelezwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kupitia Kamisheni ya Masuala ya Uvuvi kwa Ukanda wa Kusini-Magharibi mwa bahari ya Hindi (SWIOFC) umeanza kuleta nuru kwa jamii za wavuvi kwenye kaunti ya Kwale nchini humo. Kwa sasa kiwango cha uvuvi mathalani dagaa kimeongezeka na kuibua changamoto ndani ya mafanikio.