Skip to content
Opens in a new window
Yaliyojiri Afrika:Ujumbe maalum wafuatilia usitishaji mapigano DRC
25 August 2026

Yaliyojiri Afrika:Ujumbe maalum wafuatilia usitishaji mapigano DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Ujumbe wa kwanza wa aina yake umetumwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kufuatilia utekelezaji wa usitishaji mapigano kati ya jeshi la serikali na kundi la waasi la M23, linaloungwa mkono na Rwanda.