Skip to content
Opens in a new window
Yaliyojiri Afrika:7 wafariki katika ajali ya helikopta Kenya
21 August 2026

Yaliyojiri Afrika:7 wafariki katika ajali ya helikopta Kenya

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Watu saba, wakiwemo raia watano wa Marekani na mkuu wa ujasusi wa Ecuador, wamefariki baada ya helikopta ya watalii kuanguka karibu na Mlima Ololokwe, katika kaunti ya Samburu nchini Kenya.