Wataalamu waonya kuwa msimu wa moto umeanza tunapotarajia joto kuongezeka
11 December 2025

Wataalamu waonya kuwa msimu wa moto umeanza tunapotarajia joto kuongezeka

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Katika wiki za hivi karibuni, moto wa nyika umesababisha uharibifu wa nyumba na mali katika maeneo ya pwani ya katikati ya kaskazini ya New South Wales, Geraldton huko Magharibi mwa Australia na mashariki mwa Tasmania. Wataalamu wanaonya kuwa huu ni mwanzo tu wa msimu wa moto na nyinyi ambao mnasafiri kwa ajili ya likizo mnahitaji kuwa na ufahamu na maandalizi mkiwa mbali na nyumbani.