Taarifa ya Habari: Australia yapata usambazaji wa mafuta wa mwezi mwingine
06 April 2026

Taarifa ya Habari: Australia yapata usambazaji wa mafuta wa mwezi mwingine

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Serikali ya shirikisho imesema ugavi wa akiba ya mafuta ya Australia sasa umeongezwa hadi Mei, kuanzia katikati ya Aprili.