Taarifa ya Habari 26 Septemba 2025
26 September 2025

Taarifa ya Habari 26 Septemba 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia ina simama kidete juu ya tamaduni nyingi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kukosoa uhamiaji katika hotuba yake kwa kikao cha mkutano wa Umoja wa Mataifa.