Makala leo: Hotuba ya Waziri Mkuu yapokewa kwa hisia mseto
03 April 2026

Makala leo: Hotuba ya Waziri Mkuu yapokewa kwa hisia mseto

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Hotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.