Maandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyika
14 November 2025

Maandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyika

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Maandamano ya neo-Nazi mbele ya bunge la New South Wales yamezua mshtuko katika jamii za Kiyahudi na za tamaduni mbalimbali huko Sydney. Serikali ya jimbo hilo imekashifiwa baada ya kufichuliwa kwamba tukio hilo liliendelea na idhini kutoka kwa Polisi wa New South Wales. Je, ni vipi maandamano haya ya neo-Nazi yalipewa kibali cha kufanyika mwanzoni?