Kamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRC
22 September 2025

Kamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Taratibu zinazolenga kumfuta kazi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Vital Kamerhe zinaendelea huku kukishuhudiwa hali ya mfarakano kati ya rais Félix Tshisekedi na mshirika wake huyo wa zamani.