Jinsi utovu wa sheria Israel unaathiri wakulima wa Palestine
01 December 2025

Jinsi utovu wa sheria Israel unaathiri wakulima wa Palestine

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Kwa mtengenezaji wa mvinyo wa Kipalestina kutoka Australia, Sari Kassis, ukweli wa kilimo katika Ukingo wa Magharibi ni hali ya hatari ya kila wakati, kimwili na kiakili. Kwa kuongezeka kwa vurugu za walowezi katika Ukingo wa Magharibi, mavuno ya mwaka huu yameona idadi ya juu zaidi ya mashambulizi ya Waisraeli kwenye mashamba na mali.