About
Mungu hataki tuwe na maarifa, bali pia tuwe na hekima ya kuyatumia kwa usahihi.Hekima kutoka kwake hutupa macho ya kuona zaidi ya hali tunazopitia.Hutusaidia kufanya maamuzi yenye matokeo mema na yenye kusudi.Muombe Mungu akupe hekima inayotoka kwake katika kila eneo la maisha yako.
Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give