
About
Ni kama mbegu inayopandwa ndani ya moyo wa mwanadamu ili kuzaa matunda ya haki na uzima.Linapoingia katika moyo ulio tayari kulipokea, huota, hukua, na kuleta mabadiliko ya kweli katika maisha.Huimarisha imani, hutoa hekima, na kumwelekeza mtu katika njia ya kweli na ya ushindi.Kadiri mtu anavyolitunza na kulitafakari, ndivyo linavyozidi kuzaa matunda mema katika tabia na matendo yake.
Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give