Zaidi ya watu 80 wafariki katika ajali ya boti Basankusu
13 September 2025

Zaidi ya watu 80 wafariki katika ajali ya boti Basankusu

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

About

Karibu kwa makala ya Yaliyojiri wiki hii. Baadhi ya habari ambazo tumezipa uzito wiki hii ni makamu wa kwanza wa rais wa Sudan Kusini ashatkiwa kwa uhaini na mauaji, ajali ya boti nchini DRC.

Tutaangalia hatma ya mkutano wa hali ya hewa nchini Ethiopia, Vilevile onyo la vifo vya malaria kuongezeka mwaka huu kutokana na kupunguzwa kwa misaada ya kigeni.