Vurugu zaugubika Uchaguzi mkuu nchini Tanzania na hali nchini DRC
04 November 2025

Vurugu zaugubika Uchaguzi mkuu nchini Tanzania na hali nchini DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

About

Uchaguzi mkuu uliofanyika katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania, na ambao uligubikwa na maandamano; mkutano wa Paris nchini Ufaransa kuhusu amani ya mashariki mwa DRC na eneo la maziwa makuu, siasa za nchini Kenya, Uganda lakini pia mauaji yaliyotekelezwa na kundi la RSF nchini Sudan, hali nchini Cameroon na Madagascar, kurejewa kwa mashambulizi nchini Ukraine, na huko Israeli dhidi ya Hamas