
13 September 2025
Waafrika wa kutazama kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia huko Tokyo, Japan
Jukwaa la Michezo
About
Tuliyokuandalia ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya riadha ya dunia, michuano ya Cecafa inayoendelea kwa kina dada na wanaume, Simba Day na Yanga Day huko Tanzania, michuano ya basketboli ya Afrika ya wavulana wasiozidi miaka 16, kinachotarajiwa baada ya rabsha katika mechi ya DRC na Senegal