CAF: Nigeria na Morocco zimefuzu nusu fainali ya michuano ya WAFCON 2025
19 July 2025

CAF: Nigeria na Morocco zimefuzu nusu fainali ya michuano ya WAFCON 2025

Jukwaa la Michezo

About

Leo tumeangazia hatua ya mtoano ya michuano ya Wafcon, maandalizi ya timu za Afrika Mashariki kuelekea CHAN 2024, mshikilizi wa rekodi ya dunia Chepng'etich asimamishwa kwa muda, Yanga yaendelea kusajili pakubwa, Vipers SC yapata kocha mpya kutoka Ubelgiji, raia wa Cameroon Bryan Mbeumo ajiunga na Man Utd, Ons Jabeur aamua kuchukua pumziko fupi kwenye tenisi, hatua ya 14 ya Tour de France, michuano ya EURO ya wanawake.