CAF: Kenya yazidisha maandalizi yake kuelekea kuandaa CHAN 2024
12 July 2025

CAF: Kenya yazidisha maandalizi yake kuelekea kuandaa CHAN 2024

Jukwaa la Michezo

About

Leo tumeangazia raundi ya pili ya makundi mechi za WAFCON, maandalizi ya Kenya kuandaa CHAN, riadha za Monaco Diamond League, michuano ya raga bara Afrika, fainali ya Congo Cup, msimamo wa jedwali wa hivi punde wa FIFA, Rwanda yajiandaa michuano ya bara Afrika basketboli kwa wanawake, uhamisho wa wachezaji kutoka Afrika huko Ulaya, fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu, fainali za Wimbledon, hatua ya nane ya Tour du France na mechi za mwisho za makundi Kombe la EURO kwa kina dada.