
About
Tuliyokuandalia leo ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya kina dada ya Afcon, Kombe la Cecafa, mashindano ya Jumuiya ya Madola, tetesi za uhamisho Ulaya na Afrika Mashariki, mahakama ya kutatua migogoro duniani kuskiza kesi ya kubaini bingwa wa Afcon 2025 mwezi Oktoba tarehe nane.