AFCON 2025: Mbio za kuwania kufuzu kwa nusu fainali zinazidi kupamba moto
10 January 2026

AFCON 2025: Mbio za kuwania kufuzu kwa nusu fainali zinazidi kupamba moto

Jukwaa la Michezo

About

Leo tutakufahamisha matukio yote kwenye raundi ya 16 bora, uchambuzi wa mechi haswa kuondolewa kwa DRC na Tanzania walivyolakiwa kishujaa nyumbani Dar es Salaam baada ya kutoka Morocco na uchambuzi wa mechi za robo fainali za jana na leo. Morocco na Senegal washajikatia tiketi ya nusu fainali. Algeria dhidi ya Nigeria na Misri dhidi ya Ivory Coast.