AFCON 2025: Mashindano kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya 2028
20 December 2025

AFCON 2025: Mashindano kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya 2028

Jukwaa la Michezo

About

Usiku mmoja kabla ya kuanza kwa michuano ya Afcon 2025 tunakufahamisha mambo yote unayostahili kujua pamoja na mabadiliko ya michuano hii kuendelea mbele, michezo ya chipukizi ya Afrika yatamatika Angola, Rayon Sports na Simba zapata makocha wapya, mkenya David Munyua aweka historia katika mchezo wa darts duniani, Anthony Joshua amlaza Jake Paul kupitia knockout, droo ya nusu fainali ya kombe la Carabao.