
21 March 2026
Senegal yavuliwa ubingwa wa Afrika, Kenya na Ufaransa zashirikiana kwenye tenisi
Jukwaa la Michezo
About
Leo kwenye kipindi tunaangazia hisia za baada ya Caf kuivua Senegal ubingwa wa Afrika, kwenye tenisi Kenya na Ufaransa zimeingia kwenye ushirikiano, hatma ya Kenya kaundaa Afcon 2027, FIFA yaweka vikwazo kwa Nigeria na DRC, robo fainali ligi ya klabu bingwa Afrika kuanza leo, DRC yashindwa ubingwa wa dunia kwenye basketboli ya vitimagu, ushirikiano wa FIFA na YouTube, Ronaldo kukosa mechi za kirafiki, robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya lakini pia matokeo ya raga divisheni ya pili ya HSBC.