Opens in a new window
CAF: Wafcon, mashindano ya jumuiya ya madola na Kombe la Cecafa yaanza
25 July 2026

CAF: Wafcon, mashindano ya jumuiya ya madola na Kombe la Cecafa yaanza

Jukwaa la Michezo

About

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya kina dada ya Afcon, Kombe la Cecafa, mashindano ya Jumuiya ya Madola, tetesi za uhamisho Ulaya na Afrika Mashariki, mahakama ya kutatua migogoro duniani kuskiza kesi ya kubaini bingwa wa Afcon 2025 mwezi Oktoba tarehe nane.