Opens in a new window
Changu Chako: Historia ya watu wa kabila la Wabembe na kifo cha mwanamuziki Mr Gave
19 July 2026

Changu Chako: Historia ya watu wa kabila la Wabembe na kifo cha mwanamuziki Mr Gave

Changu Chako, Chako Changu

About

Karibu katika Makala yrtu ya leo jumapili change chako chako change Makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali, utamaduni le parler francophone na Muziki ambapo leo nakuletea kwa mara nyingine tena historia ya watu wa kabila la wabembe. Na kwenye Muziki nitakuletea historia ya mwanamuziki Mista Gave aliefariki dunia juma hili huko Uvira. Mazishi ya msanii Gave yamepangwa kufanyika Julai 22 hapo Uvira. mimi ni Ali Bilali mtangazaji asiependa makuu, Bienvenue, ama karibu.

fuatilia pia @billybilali